Director Msafiri a.k.a Travellah |
Akizungumza na eNewz Msafiri amesema video hiyo ilichukua siku 9 'kui-shoot', kwani wasanii wengi waliotajwa walikuwa wanakacha kutokea 'location'.
Pia Msafiri alionesha kushangazwa na kitendo cha Hanscana kuondoka WANENE ENT. kisa kikiwa ni kushidwa kutimiziwa ombi lake la kupewa RED CAMERA, Msafiri alidai kuwa kazi bora haitokani na ukubwa wa Camera tu bali pia uwezo na utundu wa Director/Camera Operator (mtumiaji) kuitumia.
Chapisha Maoni