Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa zikisambaa kwenye mitandao ya
kijamii kwamba msanii wa siku nyingi wa bongofleva Mr. Nice amefariki na
mwili wake upo Hospitali ya Taifa Muhimbili. Mama Mzazi wa Mr. Amesema
Haya:
“Kusema ukweli hayo mambo yalisemwa lakini mimi nilizungumza na mwanangu live akasema yeye ni mzima wa afya mimi sikusikia kwenye vyombo vya habari nilisikia watu wakisema ndio nikataka anipigie simu ili niweze kujua hali yake ikoje. Alinipigia tukazungumza” – Mama Mr. Nice
VIDEO:Mwili wa Mwanamke aliezikwa akiwa hai wafukuliwa
“Kusema ukweli hayo mambo yalisemwa lakini mimi nilizungumza na mwanangu live akasema yeye ni mzima wa afya mimi sikusikia kwenye vyombo vya habari nilisikia watu wakisema ndio nikataka anipigie simu ili niweze kujua hali yake ikoje. Alinipigia tukazungumza” – Mama Mr. Nice
VIDEO:Mwili wa Mwanamke aliezikwa akiwa hai wafukuliwa
Chapisha Maoni